
HEKIMA YA FEDHA
Price:
9,999 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Aug 08, 2021
Product Views:
870
Sample
Hazina ya ufahamu sahihi juu ya fedha
Huwa fedha yangu inakwenda wapi?
Hili ni swali ambalo hata mimi lilinisumbua kwa muda mrefu, nilitumia nguvu sana kuitafuta lakini ilipofika mikononi mwangu, haikulipa ile gharama niliyotumia kuitafuta.
Fedha haikukaa kwenye mikono yangu, fedha haikutosheleza mahitaji yangu ya muhimu, kila nilipoipata na matatizo yaliongezeka pia.
Huwenda na wewe unapitia changamoto kama hii, usijali , hujalogwa wala huna mikosi ya fedha ila kuna kanuni na masharti muhimu ya fedha unapaswa uyafahamu ili uweze kuimiliki fedha yako uipatayo kwa furaha.
Katika kitabu hiki nitakufunulia siri hizo na jinsi ya kuzitumia kudhibiti fedha yako.
Karibu.