Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Ujasiriamali Ni Tabia - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

UJASIRIAMALI NI TABIA

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
10,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
May 19, 2020
Product Views:
4,234
In category:
Sample

UJASIRIAMALI NI TABIA; Yeyote Anaweza Kujifunza

Pamoja na uwepo wa shughuli nyingi za uzalishaji mali zinazoanzishwa na watu mbalimbali kwa lengo la kuongeza kipato chao, tafiti zinaonyesha kuwa shughuli nyingi miongoni mwa shughuli hizo hufa na kupotea katika kipindi kifupi baada ya kuanzishwa. Hata hivyo miongoni mwa shughuli chache zinazodumu, baadhi yake hushindwa kupanuka na kujiboresha katika kiwango cha kuridhisha. Moja ya sababu zinazochangia kufa au kudumaa kwa biashara mbalimbali ni wamiliki wake kukosa stadi na maarifa muhimu katika uendeshaji wa shughuli hizo. Hii inaashiria kuwa malengo ya watu wengi hayafikiwi kutokana na kukosa maarifa na stadi muhimu zinazohitajika katika uendeshaji wa shughuli zao za kiuchumi.

kitabu hiki kina lenga kutatua hizi changamoto zote............!

More Products On Discount
7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

Best Sellers List
Best Seller
10,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

10,000 Tsh.
(0.8)

Sold by: PJ PROJECTS

Old is Gold