VIJUE VIASHIRIA VYA MAGONJWA YA AKILI KATIKA JAMII: Chanzo, Athari, Kinga Na Suluhisho Lake
Jipatie nakala ya kitabu hiki \\\\\\\\\\\\\\\"Vijue viashiria vya magonjwa ya akili katika jamii:Chanzo, Athari, Kinga na Suluhisho lake.Pesa utakayoitumia kununua kitabu hiki hailingani na thamani ya maarifa utakayoyapata.KUMBUKA: “Ubora wa afya yako unategemea hali ya mwili, hisia zako, akili, masuala ya kiroho, mahusiano na watu wengine na mazingira yako.Mtu yeyote katika maisha yake anaweza kupata magonjwa ya akili.Mengi ya magonjwa haya hupona yenyewe ambapo mengine yanahitaji kutibiwa.Siyo rahisi kujua ni nani atapona bila kutibiwa.Mara nyingi kupona bila tiba inachukua muda mrefu na mgonjwa anaweza akaathirika sana kama akibaki katika hali ya ugonjwa kwa muda mrefu bila tiba\\\\\\\\\\\\\\\"
Magonjwa ya akili ni kundi moja la magonjwa yasiyoambukiza ambayo yanazidi kuongezeka nduniani kote na hayana mwelekeo wa kupungua, huathiri afya ya mtu kuanzia jinsi anavyofikiri, anavyohisi, na anavyotenda..
Taarifa za Shirika la afya duniani zinaonyesha kwamba nchi nyingi duniani hazilipi umuhimu unaostahili suala la afya ya akili katika jamii.Hali hiyo imesababisha huduma za maradhi ya akili katika nchi nyingi duniani kuwa duni na zisizothaminiwa.Matokeo yake ni wagonjwa wa akili pamoja na familia zao kunyanyasika, kutengwa na kudhalilishwa kimwili, kiakili na kihisia hii ni pamoja na watoto wenye matatizo ya akili utotoni.Tabia ya kunyanyapaa wagonjwa wa akili imejitokeza katika nchi nyingi kwa sababu yamejengeka mazoea ya kutothamini utu wao na haki zao za kibinadamu.
Ukisoma kitabu hiki hadi mwisho utajifunza yafuatayo:-
- Chanzo cha magonjwa ya akili katika jamii
- Jinsi jamii inavyoweza kuchangia/kusababisha magonjwa ya akili katika jamii husika
- Matatizo ya akili utotoni
- Makundi ya watoto waliohatarini kupata magonjwa ya akili
- Viashiria vya magonjwa ya akili utotoni
- Jinsi ya kutambua uwezo wa akili ya mwanao(Intelligence Quotient)
- Jinsi a kumtambua mtoto mwenye uwezo wa akili(IQ) chini ya wastani
- Viashiria vya magonjwa ya akili kwa vijana na watu wazima
- Magonjwa ya kimwili ambayo yanaweza kusababisha mtu kuugua ugonjwa wa akili yasipotibiwa kikamilifu
- Athari za magonjwa ya akili katika jamii
- Mbinu za kuimarisha uwezo wa akili yako na mahusiano bora katika jamii
- Jinsi ya kuishi na mtoto, mwenzi au ndugu mwenye afya mbaya ya akili
- Makundi ya watu waliohatarini kuwa walevi, wavuta tumbaku, bangi na madawa ya kulevya
- Nyakati ambazo huwafanya watu wengi kujiingiza kwenye dimbwi la ulevi, uvutaji tumbaku, bangi shisha na madawa ya kulevya
- Magonjwa ya akili ambayo muda wowote katika kipindi chochote cha maisha ya mtu anaweza kuugua
- Athari za pombe kimwili, kiakili, kijamii na kiroho
- Madhara ya pombe wakati wa ujauzito
- Athari za tumbaku maishani
- Kwanini tumbaku ina madhara makubwa zaidi kiafya ukilinganisha na pombe?
- Madhara ya tumbaku kwa watoto na vijana
- Madhara ya tumbaku kwa wanaovutishwa moshi wa tumbaku(second hand smoker)
- Madhara ya tumbaku wakati wa ujauzito
- Athari za tumbaku dhidi ya viungo mbalimbali mwilini
- Athari za kafeini mwilini
- Athari za kafeini wakati wa ujauzito
- Njia rahisi za kuvunja uraibu wa pombe, tumbaku, kafeini na madawa mengine ya kulevya
- Dalili za mfadhaiko
- Jinsi ya kushughulika na mfadhaiko maishani
Kitabu hiki kinayo mengi ya kujifunza yatakayo badili maisha yako na ya jamii inayokuzunguka
Je unahitaji kutimiza ndoto zako ukiwa na afya njema.? Mifereji ya mafanikio yako imo akilini mwako.Ukiharibu akili yako kwa namna yoyote umeharibu ndoto zako na ukiharibu ndoto zako umeharibu ndoto za kizazi chako.JALI AFYA YAKO YA AKILI.
Kupata hardcopy ya kitabu hiki lipia TSh 15,000/= Kisha tuma SMS/Piga 0686279021 ya muamala wako wa Malipo Jina Lubango Lucas Chikanda kitakufikia huko uliko kwa uaminifu mkubwa.
Nauri ya kusafirisha kitabu hiki kwa hapa Tanzania ni juu yangu.Mungu akubariki
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Godius Rweyongeza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Chikanda Medical Publisher
Sold by: Chikanda Medical Publisher
Sold by: Chikanda Medical Publisher