Your Basket

Checkout | Shopping Cart
biashara ni maamuzi || GetValue

BIASHARA NI MAAMUZI

BIASHARA NI MAAMUZI

Watu wengi wanapenda mafanikio na wanatamani kuwarn

wafanyabiashara wakubwa, wawe na uhuru wa kifedha, narn

kujulikana kwa mafanikio yao. Lakini, wachachern

wanatambua kuwa mafanikio siyo matokeo ya bahati, bali nirn

zao la maamuzi sahihi yanayofanyika kila siku. Kitabu hikirn

kimeandikwa kwa ajili ya watu wanaotaka kujifunza kufanyarn

maamuzi bora katika biashara, bila kutegemea bahati walarn

miujiza. Hebu fikiria hadithi hii. Kijana mmoja aitwaye Musa alikuwarn

anataka kufungua duka la kuuza vifaa vya simu. Alikuwarn

ameweka akiba yake ya miaka miwili, na hatimaye alifikiarn

hatua ya kuchagua eneo la kufungulia duka. Alikuwa narn

chaguo kati ya maeneo mawili. Moja lilikuwa katika soko linalojulikana kwa msongamanorn

wa watu, lakini kodi yake ilikuwa kubwa. Jengine lilikuwarn

pembezoni mwa mtaa, liliendana na uwezo wake wa kodi, lakini lilikuwa na watu wachache sana. Musa alitumia siku kadhaa kusikiliza marafiki, kuombarn

ushauri, na kufanya tafiti. Alikumbuka kusudi lake la mudarn

mrefu siyo tu kufungua duka, bali kulijenga kuwa biashararn

kubwa ya vifaa vya kielektroniki. Mwishowe, alifanya uamuzirn

mgumurn

kuchukua eneo la ghali, lakini lenye nafasi ya kukua haraka. Alihama mtaani kwake na kuishi kwa rafiki ili apunguzern

gharama. Mwaka mmoja baadaye, duka lake likawa maarufu, na sasarn

alikuwa anaagiza mzigo moja kwa moja kutoka nje ya nchi. Hadithi ya Musa si ya miujiza ni hadithi ya maamuzi yenyern

malengo. Kila aliyefanikiwa katika biashara, kuna siku alikaarn

chini na akafanya uamuzi wa kubadili maisha yake. Kitaburn

hiki kinakualika kufanya uamuzi huo leo. Kila sura katika kitabu hiki imeandikwa kwa uangalifu, ikiwarn

na maarifa ya vitendo, mifano halisi kutoka Tanzania, narn

misingi bora ya kufanya maamuzi katika mazingira halisi yarn

kibiashara. Hiki si kitabu cha kusoma tu ni kitabu charn

kutenda. Ni mwongozo wa kufungua akili yako, kuelewarn

hatari za maamuzi mabaya, na kuona nguvu iliyopo kwenyern

maamuzi sahihi. Karibu sana. Hatima ya biashara yako ipo mikononi mwarn

maamuzi unayofanya leo. Nathaniel Jacob Mahundirn

Mwandishi & Mshauri wa Biashara

Ratings: (0) Leave a Comment

You must login to post your comment.

Post Posting...