Your Basket

Checkout | Shopping Cart
darasa la kuandika ebook za biashara na ujasiriamali || GetValue Inc

DARASA LA KUANDIKA EBOOK ZA BIASHARA NA UJASIRIAMALI

DARASA LA KUANDIKA EBOOK ZA BIASHARA NA UJASIRIAMALI

Swali: Hivi "E-Book" ina maanisha nini?

.

.

Jibu: Wengi wamekuwa wakiuliza maana ya eBook, kwa sababu ni Jina lililoanza kuwa Maarufu sana hapa nchini kwetu katika kipindi cha #corona. 

.

.

EBook ni kifupi cha "Electronic Book", Yaani Kitabu cha Kielektroniki. 

.

.

Sifa kubwa ya kitabu cha namna hiyo ni kwamba unaweza kukisoma kupitia Kompyuta yako, Simu ya mkononi, na kadhalika. 

.

.

Ikiwa na maana kwamba, mtu anaweza kukigeuza kitabu chake cha "hard copy" na kukiweka katika eBook ili kuweza kuwafikia Wasomaji wengi zaidi kulingana na mahitaji yao. 

.

.

Kitabu hicho kinaweza kuwa na muonekano ule ule, Au kikaongezewa baadhi ya vitu ili kumwezesha Mtu kukisoma kwa Urahisi zaidi bila kuumiza macho au kupoteza shauku.

.

.

Je! Unapenda kukiuza kitabu chako kwa Njia ya eBook au Kujifunza namna kuandika #ebook yako ya biashara na Ujasiriamali?

.

.

Tumekuandalia "Darasa la Kuandika EBook za Biashara na Ujasiriamali"


.....utakalofundishwa peke yako (Privately)


Je, unapenda kuwepo daràsani?


Tutumie sasahivi ujumbe wako wa Utayari kupitia nambari 0764793105 WhatsApp. 


NAFASI Zipo chache sana.

WAHI YA KWAKO MAPEMA. 


GHARAMA: Ni Tsh.100,000 Tu 


Na utapata BONUS ZIFUATAZO (BURE)

  1. Cover design FREE (badala ya kulipia Tsh. 30,000+)
  2. Typesetting na Layout design (badala ya kulipia Tsh.100,000+)


Tutumie sasahivi ujumbe wako wa Utayari kupitia nambari 0764793105 WhatsApp. 


Kama Una Swali, ULIZA - Ili tukusaidie kuyafikia Malengo yako kwa Wakati. 

.

.

FOLLOW 

https://Instagram.com/lamaxdesigns/


@lamaxdesigns @lamaxdesigns @lamaxdesigns @lamaxdesigns.

Ratings: (0) Leave a Comment

You must login to post your comment.

Post Posting...