 
	                    FUNGUA UFAHAMU
Price:
			                
			                	5,000  Tsh.			                		
			                
			                
			            Vendor:
			                
			                
			            Added To Cart:
			                0
			                
			            Added to shop:
		                    Feb 16, 2025
		                    
		                Product Views:
		                    690
		                    
		                Sample
			                
			                
			            Mimi ni nani?, Nimetoka wapi?, kwanini nipo hapa duniani?, Naweza kufanya nini?, Ninaenda wapi?
Watu katika ulimwengu huu wengi hawajatambua wao ni akina nani, yaan wamebeba kitu gani cha kipekee ndani yao, hapa nazungumza kwa maana ya kipawa/kipaji walichobeba na jinsi kinavyoweza kuleta matokeo kwanza kwao wenyewe na jamii.
Ulimwengu upo katika migogoro kwa sababu tu wanadamu wamesahau kusudi lao na sababu ya kuishi, hivyo mambo yote yanayokiuka haki za binadamu tutaweza kutokomeza siku tu tukijua kujitambulisha na kujua kusudi letu.
Sold by: Godfrey Ngaleya
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
 +255 717 568 861
                            +255 717 568 861
                         Android App
 Android App IOS App
 IOS App 
                             
                                         
                                         
                                                            
                                                         
					    



















