IFAHAMU NGUVU YA UTAJIRI NDANI YAKO
Katika kitabu hiki, nimekiandaa mahsusi Ili kila mmoja kuwa na uelewa hususani kwenye masuala ya utajiri. Kwa kila kurasa zilizo beba funzo tangu ya kwanza mpaka ya mwisho, utaweza kuelewa kuhusu utajiri na kuanza kuwishi. Hapa nimeanza kuchambua utajiri toka kwenye wazo mpaka kwenye matokeo, hivyo twende sambamba pasipo haraka ili tufikie ndoto zetu. Zingatia utajiri unahitaji utulivu, nidhamu na kujifunza kila siku ili kupata matokeo mazuri, kwani utajiri ni mbegu inahitaji matunzo ili imee na kuzaa matunda mazuri.
Niwakati mwingine tena, kwanza natanguliza shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kutajalia afya njema, pia kwa wazazi wangu na marafiki mbalimbali kwa ujumla wao mpaka kufanikisha kazi hii ambayo peke yangu nisingeweza kuikamilisha. Mwishoni, nikushukuru msomaji wangu kwa kuwa bega kwa bega katika kukuza tasnia yangu ya uwandishi.
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza