Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Mambo 9 Ya Kuzingatia Wakati Wa Kupanga Bei Ya Kitabu Chako - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

Mambo 9 Ya Kuzingatia Wakati Wa Kupanga Bei Ya Kitabu Chako

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh. 4,900 Tsh.
Discount Code : B36569r
Added To Cart:
0
Added to shop:
Aug 07, 2025
Product Views:
6
In category:
Sample

Jinsi Ya Kupanga Bei za vitabu kwa Usahihi.

BEI YA KITABU INAWEZA KUKUPA WATEJA WENGI SANA AU IKAKUONDOLEA WATEJA.


- Lackson Tungaraza 


Binafsi, kuna wakati nilikuwa natumia nguvu kubwa kuuza kitabu changu fulani kwa TSH 

5,000 lakini sikuweza kupata wateja wengi.



Lakini nilipoamua kupandisha bei na kuanza kukiuza kwa TSH 10,000 nikaanza kupata 

wateja wengi.



Kingine nikawa nakiuza kwa TSH 10,000 na kupata wateja wengi sana... Ila nilipoamua 

kupandisha bei na kuanza kukiuza kwa TSH 19,000 wateja wakapungua sana.



Na kingine ninakiuza TSH 50,000 na wateja wapo wa kutosha – hawalalamikii bei kabisa. 



Wanakinunua kwa furaha na tabasamu kubwa.



Kwa hiyo, BEI INA MCHANGO MKUBWA SANA katika kufanya kitabu kiuzike sana au kidorore sokoni (kikose wateja).



Katika Ebook ya MAMBO 9 YA KUZINGATIA WAKATI WA KUPANGA BEI YA KITABU CHAKO nimekutafunia mambo 9 ambayo ukiyazingatia wakati wa kupanga bei ya kitabu chako, basi huenda ukawa na nafasi kubwa sana ya kufanikiwa sokoni Zaidi ya waandishi wenzio wanaopuuzia elimu ya namna hii.


Bonyeza button ya BUY NOW hapo juu kulipia na kupata hii PDF (softcopy) haraka.

More Products On Discount
More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PASTOR TONY OSBORN

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

GetValue Recommendations
Old is Gold