 
	                    Ukombozi Wa Fikra Za Mwafrika
Price:
			                
			                	8,000  Tsh.			                		
			                
			                
			            Vendor:
			                
			                
			            Added To Cart:
			                0
			                
			            Added to shop:
		                    Feb 28, 2022
		                    
		                Product Views:
		                    5,587
		                    
		                Sample
			                
			                
			            Kitabu hiki kitakusaidia kujua asili ya Afrika nguvu tulizonazo na ukuu tuliojaaliwa na Mwenyezi Mungu aidha utafahamu uongo na uovu wa wazungu katika kutudidimiza na kuteketeza asili yetu mwisho utafahamu namna gani tunaweza kurudi katika asili yetu.
Bara la Afrika ni bara pekee Duniani ambalo tumejaaliwa vitu mbalimbali vya thamani ikiwemo madini ya kila aina, vivutio mbalimbali vya utalii, vyanzo mbalimbali vya maji, ardhi yenye rutuba n.k lakini bado tunaendelea kuwa maskini. Hatuwezi kuibadilisha Afrika yetu pasipo kubadilisha fikra zetu.
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
 +255 717 568 861
                            +255 717 568 861
                         Android App
 Android App IOS App
 IOS App 
                             
                                         
                                         
                                                            
                                                         
					    




















