HEKIMA ZA MKOSAJI NA MKOSOAJI
Price:
10,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Apr 07, 2026
Product Views:
79
Sample
Hekima za Mkosaji na Mkosoaji, ni kitabu kilichobeba maudhi yenye kufikirisha kwa kila mwanadamu ambaye ndani ya nafsi yake anatambua ni mkosaji,lakini anatambua fika yeye pia ni mkosoaji.rnHivyo kila anachofanya kuna wakati huwa ni sahihi na kuna nyakati si sahihi,ila kwakuwa ni matendo ya fikra zake,hanabudi kuziamini na kusimamia..rnNdani ya kitabu hiki utasoma nukuu kadhaa za kanuni za maisha kwa tafsiri na taswira aionayo mwandishi, na visa vya mkosaji na mkosoaji.
Kwakuwa mimi si mwema,si mtiifu,si mkweli wala si muaminifu,hata ninachowaza na kuniweka njia panda sio HEKIMA zangu,ni ujinga wangu..hakika MIMI ni MKOSAJI na MKOSOAJI.ila chukua dakika zako kadhaa kupitia hizi HEKIMA ZA MKOSAJI NA MKOSOAJI utanielewa vyema nachomaanisha.
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza