Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Kikokotoo - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

KIKOKOTOO

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Jun 08, 2021
Product Views:
1,428
In category:
Sample

KIKOKOTOO DAVID NGOCHO SAMSON MUHTASARI Maisha duni ndiyo yalimpa motisha wa kupambana na umaskini na kuushinda. Akatia bidii kwenye masomo, akafaulu kila hatua. Enzi zile, elimu ilikuwa bure hadi vyuo vikuu, chini ya serikali ya awamu ya kwanza ikiongozwa na hayati mwl JK Nyerere. Mtaji pekee ilikuwa juhudi binafsi kwenye masomo. Alipofanikiwa kuondokana na ufukara, Muganyizi hakupenda masahibu aliyopata yeye, yampate mwanaye, akawekeza kwenye elimu ya wanae na kuyaboresha maisha yao. Wakafanikiwa kupata kazi zenye marupurupu na mishahara minono, isipokuwa kitinda mimba, Mutahaba. Muta alizaliwa kwenye ukwasi, hakupata fursa ya kukabili changamoto zake, hizo zilishughulikiwa na baba pamoja na kaka zake matajiri. Hali hiyo ikamlemaza, hata hakujua nini cha kufanya pale umaskini ulipobisha hodi kwenye familia yao. Ni Baada ya kaka zake kusemekana kufa kwa kunyongwa huko ughaibuni kwa kosa la kujihusisha na Biashara ya dawa za kulevya, huku baba yake, Mzee Muganyizi akidhulumiwa fedha za pension ya kustaafu na kundi la kihalifu la watu wenye pesa, wenye nguvu za kuficha baadhi ya watumishi na Viongozi wa serikali mifukoni mwao, Muta analazimika kujifunza maisha kwa mbinde na kwa kukabili hatari. Riwaya hii itakupitisha kwenye harakati za hatari anazopitia Muta ili kuyasimamisha maisha yake kwenye mstari autakao. Kwake, umaskini haukubaliki.

KIKOKOTOO

DAVID NGOCHO SAMSON


MUHTASARI


Maisha duni ndiyo yalimpa motisha wa kupambana na umaskini na kuushinda. Akatia bidii kwenye masomo, akafaulu kila hatua. 


Enzi zile, elimu ilikuwa bure hadi vyuo vikuu, chini ya serikali ya awamu ya kwanza ikiongozwa na hayati mwl JK Nyerere. Mtaji pekee ilikuwa juhudi binafsi kwenye masomo.


Alipofanikiwa kuondokana na ufukara, Muganyizi hakupenda masahibu aliyopata yeye, yampate mwanaye, akawekeza kwenye elimu ya wanae na kuyaboresha maisha yao. Wakafanikiwa kupata kazi zenye marupurupu na mishahara minono, isipokuwa kitinda mimba, Mutahaba.


Muta alizaliwa kwenye ukwasi, hakupata fursa ya kukabili changamoto zake, hizo zilishughulikiwa na baba pamoja na kaka zake matajiri. Hali hiyo ikamlemaza, hata hakujua nini cha kufanya pale umaskini ulipobisha hodi kwenye familia yao.


Ni Baada ya kaka zake kusemekana kufa kwa kunyongwa huko ughaibuni kwa kosa la kujihusisha na Biashara ya dawa za kulevya, huku baba yake, Mzee Muganyizi akidhulumiwa fedha za pension ya kustaafu na kundi la kihalifu la watu wenye pesa, wenye nguvu za kuficha baadhi ya watumishi na Viongozi wa serikali mifukoni mwao, Muta analazimika kujifunza maisha kwa mbinde na kwa kukabili hatari.


Riwaya hii itakupitisha kwenye harakati za hatari anazopitia Muta ili kuyasimamisha maisha yake kwenye mstari autakao. Kwake, umaskini haukubaliki.

More Products On Discount
7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

Best Sellers List
Best Seller
10,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

10,000 Tsh.
(0.8)

Sold by: PJ PROJECTS

Old is Gold