MAOMBI YA REHEMA NA TOBA
Price:
			                
			                	8,000  Tsh.			                		
			                
			                
			            Vendor:
			                
			                
			            Added To Cart:
			                0
			                
			            Added to shop:
		                    Jun 20, 2024
		                    
		                Product Views:
		                    1,528
		                    
		                Sample
			                
			                
			            Hiki ni kitabu pekee na chenye ufunuo wa ajabu. Na kimebeba majibu ya maswali ya watu wengi kuhusu Rehema na Toba.
Mwana wa Mungu elewa kuwa Rehema ni   kumwambia Mungu akuhurumie na kukutazama,   na Mungu anapokutazama anasubiri umwambie   mahitaji yako
Toba ni zaidi ya Neno nisamehe, toba ni   maisha, ni hali ya kumkabidhi Mungu roho yako,   akili yako, mawazo yako, fikra zako, hiyo ndiyo toba   ya kweli.