Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Namna Mwanamke Anavyoweza Kuzitumia Nafasi Zake Za Kiroho Kubadilisha Maisha Na Ndoa Yake - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

NAMNA MWANAMKE ANAVYOWEZA KUZITUMIA NAFASI ZAKE ZA KIROHO KUBADILISHA MAISHA NA NDOA YAKE

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Dec 31, 2025
Product Views:
61
In category:
Sample

Kitabu hiki cha pekee kitakuongeza ufahamu na maarifa kuhusu nafasi sita (6) za kiroho alizopewa mwanamke ili azitumie kubadilisha maisha yake binafsi na ndoa yake

Ndani ya kitabu hiki utajifunza mambo yafuatayo;

  1. Nafasi sita (6) za kiroho alizopewa mwanamke ili azitumie kuleta matokeo yaliyokusudiwa
  2. Namna mwanamke anavyopaswa kuzitumia nafasi zake za kiroho
  3. Ufafanuzi wa kibiblia kuhusu msamaha, talaka na tendo la ndoa
  4. Mifano ya ki-Biblia kuhusu wanawake waliosimama na walioshindwa kuzitumia nafasi zao 

Karibu ununue kitabu hiki kwa kubonyeza sehemu ya ‘Buy now’ ili ujipatie ufahamu na maarifa husika. Aidha kwa kufanya hivyo utakuwa umechangia kazi ya uandishi wa vitabu vingine ambavyo Patrick Sanga anaendelea kuviandika.

Licha ya uandishi wa vitabu, Patrick Sanga ni mwandishi wa masomo ya neno la Mungu na mengine mahususi kuhusu Roho Mtakatifu, vijana, wanawake, ndoa na siku za mwisho nk. Ikiwa utapenda kusoma masomo hayo, tafadhali tembelea blogu za www.sanga.wordpress.com na www.sanga.co.tz  

More Products On Discount
More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PASTOR TONY OSBORN

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
150,000 Tsh.
(3.6)

Sold by: Gaston Ngailo

GetValue Recommendations
Old is Gold