SALA KATIKA JNNK
Price:
			                
			                	5,000  Tsh.			                		
			                
			                
			            Vendor:
			                
			                
			            Added To Cart:
			                0
			                
			            Added to shop:
		                    Sep 07, 2023
		                    
		                Product Views:
		                    2,581
		                    
		                Sample
			                
			                
			            Nisali sala zipi tangu ninapoamka hadi ninapoenda kulala ili nibarikiwe na Mungu?
Kusali ni kuongea na Mungu. Kuna sala ya sauti, ya tafakari na ya taamuli. Tunapaswa kusali wakati wote ili tuwe na baraka ya Mungu siku zote.
Tunasali tukisifu, tukiabudu, tukiomba, tukishukuru na tukiomba Toba. Sala yenye nguvu huendana na matendo mema ya mtu.
Mtafuteni Mungu maadamu anapatikana mwiteni maana Yu karibu. Na tena ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa...(Mt. 7:7ff)
 +255 717 568 861
                            +255 717 568 861
                         Android App
 Android App IOS App
 IOS App 
                             
                                         
                                         
                                                            
                                                         
					    



















