GEN Z: Maarifa, Madili Na Mustabakali Wa Taifa
Price:
5,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Jan 29, 2026
Product Views:
11
Sample
Kitabu hiki kinazungumzia kwakina kizazi Cha GEN Z , Changamoto zake,Fursa zilizopo katika Zama za teknolojia, na mwongozo wa vitendo wa kujenga Maisha yenye maadili, Maarifa na mchango chanya kwa maendeleo ya Taifa.
GEN Z: Maarifa, Maadili na Mustakabali wa Taifa ni kitabu kinacholenga kuwa mwanga wa fikra kwa vijana wa kizazi cha sasa. Kinachambua masuala ya elimu, teknolojia, afya ya akili, uongozi, maadili na kujiajiri kwa mtazamo wa uhalisia wa maisha ya leo.
Kitabu hiki hakilaumu, bali kinaelekeza na kuhamasisha vijana kuchukua hatua za vitendo kujiboresha, kujitegemea na kuchangia maendeleo ya jamii na taifa.