Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Mtego Wa Mapenzi Mahusiano Na Ndoa1 - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

MTEGO WA MAPENZI, MAHUSIANO NA NDOA

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
3,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Feb 17, 2023
Product Views:
248
In category:
Sample

Kitabu cha MTEGO WA MAPENZI NA MAHUSIANO YA NDOA kimeandaliwa kwa madhumuni ya kuokoa mahusiano ya mapenzi na ndoa za watu. Mtunzi wa kitabu hiki ndugu Juma Mazengo Malale ameguswa na changamoto zinazowakabili wapenzi na wanandoa juu ya mahusiano waliyonayo.Ni ukweli usiopingika kuwa mapenzi na mahusiano ya ndoa yameleta migogoro mingi, vifo, visasi na mauaji ndani ya jamii na kupelekea uwepo wa familia ya mzazi mmoja na udunifu wa maisha kwa ujumla. Kitabu hiki kinazungumzia mambo mengi mazuri yenye kumuelimisha, kumfariji, kumjenga, kumuimarisha msomaji na kujua zaidi nini dhana ya mapenzi ya mahusiano na ndoa. Msomaji kitamsaidia kujiandaa vyema na ndoa bora yenye maisha yaliyonafuraha pindi atakapojifunza mambo yaliyomo ndani ya kitabu. Mwandishi ameelezea mambo mengi sana kwa ustadi wa hali ya juu huku akitumia mifano hai iliyomo ndani ya jamii inayotuzunguka kama mapenzi yenyewe, uchumba, ndoa, usaliti, migogoro ndani ya ndoa na mengine mengi yenye kumuonyesha njia sahihi ya kuelekea ujenzi wa ndoa bora. Hivyo mwandishi anawakaribisha kujipatia na kusoma kitabu hiki kizuri ambacho ni mkombozi wa mapito ya maisha ya mahusiano, mapenzi na ndoa. Ukipata hiki kitabu hakika hutohangaishwa Tena na ulimwengu wa mapenzi kwa sababu kimeelezea vema mbinu za kukabiliana na mitego unayokumbana nayo kwenye wigo wa mahusiano, mapenzi na ndoa.

Kitabu cha MTEGO WA MAPENZI NA MAHUSIANO YA NDOA kimeandaliwa kwa madhumuni ya kuokoa mahusiano ya mapenzi na ndoa za watu. Mtunzi wa kitabu hiki ndugu Juma Mazengo Malale ameguswa na changamoto zinazowakabili wapenzi na wanandoa juu ya mahusiano waliyonayo.

Ni ukweli usiopingika kuwa mapenzi na mahusiano ya ndoa yameleta migogoro mingi, vifo, visasi na mauaji ndani ya jamii na kupelekea uwepo wa familia ya mzazi mmoja na udunifu wa maisha kwa ujumla.

Kitabu hiki kinazungumzia mambo mengi mazuri yenye kumuelimisha, kumfariji, kumjenga, kumuimarisha msomaji na kujua zaidi nini dhana ya mapenzi ya mahusiano na ndoa. Msomaji kitamsaidia kujiandaa vyema na ndoa bora yenye maisha yaliyonafuraha pindi atakapojifunza mambo yaliyomo ndani ya kitabu.

Mwandishi ameelezea mambo mengi sana kwa ustadi wa hali ya juu huku akitumia mifano hai iliyomo ndani ya jamii inayotuzunguka kama mapenzi yenyewe, uchumba,  ndoa, usaliti, migogoro ndani ya ndoa na mengine mengi yenye kumuonyesha njia sahihi ya kuelekea ujenzi wa ndoa bora. 

Hivyo mwandishi anawakaribisha kujipatia na kusoma kitabu hiki kizuri ambacho ni mkombozi wa mapito ya maisha ya mahusiano, mapenzi na ndoa.  Ukipata hiki kitabu hakika hutohangaishwa Tena na ulimwengu wa mapenzi kwa sababu kimeelezea vema mbinu za kukabiliana na mitego unayokumbana nayo kwenye wigo wa mahusiano, mapenzi na ndoa.


More Products On Discount
25,000 Tsh. 20,000 Tsh.
(3.6)

Sold by: Gaston Ngailo

15,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Denis Jonas Msangi

Best Sellers List
Best Seller
100,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(36.4)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

Best Seller
10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PIUS JUSTUS

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PIUS JUSTUS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

5,000 Tsh.

Sold by: Counselor David

Old is Gold