Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Uhalali Na Uharamu Wa Biashara Ya Udalali Wa Bidhaa - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

Uhalali Na Uharamu Wa Biashara Ya Udalali Wa Bidhaa

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
3,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Jun 30, 2026
Product Views:
33
In category:
Sample

Jifunze namna ya kufanya biashara ya udalali kihalali Kwa mujibu wa usilamu

Jiulize

Je, unaruhusiwa kuuza bidhaa ambayo hujakimiliki?

Je, Uislamu unasemaje kuhusu mauzo ya kitu ambacho hakipo mikononi mwako?

Je, ni lini udalali unakuwa halali na ni lini unakuwa haramu?

Je, dalali anaweza kuuza kwa niaba bila kuwa mmiliki wa bidhaa?

Je, Mtume  alikataza nini kuhusu biashara ya hila na udanganyifu?

Je, ni masharti gani ya msingi ya kufanya biashara ya udalali kwa uhalali?

Je, ni tofauti gani kati ya wakala halali na kuuza bila umiliki?

Je, ni hatari gani za kibiashara na kidini za kuuza bila kufuata taratibu sahihi?

Je, ni wakati gani pre-order inaruhusiwa kisheria?

Je, unajua namna ya kujilinda na biashara isiyo na baraka?

Maswali haya yote yana majibu ya kina, yenye mifano halisi ya maisha ya biashara ya kila siku.

KARIBU USOME KITABU HIKI

Kitabu hiki kitakujibu maswali yote haya kwa uwazi, mifano ya uhalisia na mwongozo sahihi wa kuepuka uwinga uliokatazwa na kufanya biashara ya udalali iliyo halali na yenye baraka.

More Products On Discount
More Products From This Seller
5,000 Tsh.
(1)

Sold by: SALMA MZALA

5,000 Tsh.

Sold by: SALMA MZALA

Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PASTOR TONY OSBORN

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
25,000 Tsh.
(3.6)

Sold by: Gaston Ngailo

GetValue Recommendations
Old is Gold