Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Faida Na Hasara Za Kifo - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

FAIDA NA HASARA ZA KIFO

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Nov 24, 2022
Product Views:
295
In category:
Sample

MAISHA NI SAFARIrnUmewahi kusikia neno hili ya kuwa maisha ni safari? Mimi nimewahi kulisikia tena mara nyingi mno, bila shaka hata wewe umelisikia lakini nikuulize swali je? wanaposema maisha ni safari huwa wanamaanisha nini? Ukweli ni kuwa huwa wanamaanisha tupo safarini, lakini je? tunasafiri kwenda wapi? Hakika tunasafiri kuelekea kifo. Ndiyo maana kuna wengine husema tunaishi tunaishia. Ni vizuri sana kujua kwamba tuko safarini hivyo hakuna safari isiyo na maandalizi. Ni shetani asiyetaka watu kufikiri kuwa ipo siku tutaondoka duniani, hii ni kwasababu hataki watu wajiandae na safari hiyo ya kifo lakini nakusihi wewe usimuunge mkono shetani na wazo lake hilo. rnTena katika safari hiyo ya kuishi, mwanadamu mmoja huishia kwa kupata faida ya kifo na mwingine huishia kupata hasara, sawa na kila mmoja alivyochagua kutembea hadi mwisho wa safari yake.rnHebu twende moja kwa moja kufahamu kwanza Kifo ni nini? rnKIFO NI NINI?rnKifo ni ile hali ya mwili kutengana na roho. rnYakobo 2:26 “Maana kama vile mwili pasipo Roho umekufa”rnBiblia imetupa tafsiri rahisi ya neno kifo, aaah ni tafsiri nzuri na ya kweli kabisa. rnKabla mwanadamu yeyote kuzaliwa alitokea katika hali ya kifo au kwa lugha nyepesi alikuwa amekufa hii ni kutokana na tafsiri ya neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Yakobo. rnMaana yake kabla haujafika duniani haukuwa na mwili hivyo roho yako na mwili wako vilikuwa vimetengana. Na hii inathibitishwa katika maandiko ya kitabu cha Mwanzo wakati Mungu alipokuwa akikamlisha kazi ya uumbaji wa mtu kwa kuunganisha mwili wake na roho na hapo ndipo mtu akawa nafsi hai, baada ya kupuliziwa pumzi ya uhai, kumbe kabla ya hapo hakuwa hai.rnMwanzo 2:7 “Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi akampulizia puani pumzi ya uhai mtu akawa nafsi hai”

<!--[if gte mso 9]><xml>rn rn 14.00rn rn rn rn rn</xml><![endif]--><!--[if gte mso 9]><xml>rn rn Normalrn 0rn rn rn rn rn falsern falsern falsern rn EN-USrn X-NONErn X-NONErn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn</xml><![endif]--><!--[if gte mso 9]><xml>rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn rn</xml><![endif]--><!--[if gte mso 10]>rn<style>rn /* Style Definitions */rn table.MsoNormalTablern {mso-style-name:"Table Normal";rn mso-tstyle-rowband-size:0;rn mso-tstyle-colband-size:0;rn mso-style-noshow:yes;rn mso-style-priority:99;rn mso-style-parent:"";rn mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;rn mso-para-margin-top:0in;rn mso-para-margin-right:0in;rn mso-para-margin-bottom:8.0pt;rn mso-para-margin-left:0in;rn line-height:107%;rn mso-pagination:widow-orphan;rn font-size:11.0pt;rn font-family:"Calibri","sans-serif";rn mso-ascii-font-family:Calibri;rn mso-ascii-theme-font:minor-latin;rn mso-hansi-font-family:Calibri;rn mso-hansi-theme-font:minor-latin;}rn</style>rn<![endif]-->rnrn

KIFO NI NINI?

rnrn

Kifornni ile hali ya mwili kutengana na roho.

rnrn

Yakobo 2:26rn“Maana kama vile mwili pasipo Rohornumekufa”

rnrn

Bibliarnimetupa tafsiri rahisi ya neno kifo, aaah ni tafsiri nzuri na ya kweli kabisa.

rnrn

Kablarnmwanadamu yeyote kuzaliwa alitokea katika hali ya kifo au kwa lugha nyepesirnalikuwa amekufa hii ni kutokana na tafsiri ya neno la Mungu kutoka katikarnkitabu cha Yakobo.

rnrn

Maanarnyake kabla haujafika duniani haukuwa na mwili hivyo roho yako na mwili wako vilikuwarnvimetengana. Na hii inathibitishwa katika maandiko ya kitabu cha Mwanzo wakatirnMungu alipokuwa akikamlisha kazi ya uumbaji wa mtu kwa kuunganisha mwili wakernna roho na hapo ndipo mtu akawa nafsi hai, baada ya kupuliziwa pumzi ya uhai,rnkumbe kabla ya hapo hakuwa hai.

rnrn

Mwanzo 2:7 “Bwana Mungu akamfanyarnmtu kwa mavumbi ya ardhi akampulizia puani pumzi ya uhai mtu akawa nafsi hai”

rnrn

More Products On Discount
10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 7,500 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

6,000 Tsh. 2,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

25,000 Tsh. 20,000 Tsh.
(3.6)

Sold by: Gaston Ngailo

15,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Denis Jonas Msangi

Best Sellers List
Best Seller
100,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(42.4)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

Best Seller
10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

5,000 Tsh.

Sold by: Counselor David

Old is Gold