Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Ijue Njaa Ya Wanandoa - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

Ijue Njaa Ya Wanandoa

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
10,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Aug 31, 2020
Product Views:
1,545
In category:
Sample

Ijue Njaa Ya Wanandoa, Je unavumilia maisha ya ndoa au unafurahia? Kwanini Unavumilia Maisha ya ndoa badala ya kufurahia? Hiki ni kitabu kinachowalenga Wanandoa na wale ambao wako katika uchumba wanatarajia kufungua ndoa. Ijue Njaa Ya Wanandoa ni kitabu kitachokusaidia kujua hatua tatu muhimu mtu unazopaswa kuzipitia kabla ya ndoa. Kwenye ndoa nyingi kuna njaa, wewe kama mume au mke, au unatarajia kuingia kwenye maisha ya ndoa je unaijua njaa ya Wanandoa? Hakika kitabu hiki kitakusaidia kujua njaa ya mwenza wako na ukishajua njaa yake kazi yako inakuwa ni kumshibisha tu njaa yake. Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwanini watu wanachepuka? Ni kwa sababu kuna kitu ambacho anakosa, yaani kifupi mke au mume akishindwa kumshibisha mwenza wake njaa yake lazima ataenda kutafuta chakula nje ili ashibishe njaa yake. Kitabu hiki, kimegusa kila eneo la ndoa, Hii ni baadhi ya shuhuda ya msomaji aliyesoma kitabu hiki. ‘’ kama upo kwenye ndoa au unapanga kuingia kwenye ndoa basi unapaswa kusoma kitabu hiki. Kama upo makini na maisha yako na unataka kuwa na mahusiano bora na watu wengine hakikisha unasoma kitabu hiki. Na kwa kuwa tunajua hakuna binadamu ambaye ni kisiwa, wote tunahusika na wengine, hivyo basi kusoma kitabu hiki ni moja ya hitaji muhimu la kuwa na maisha bora" Mwandishi Kocha Dr. Makirita Amani, aliyeandika Dibaji ya kitabu hiki. Jipatie nakala yako sasa hivi ili ukanogeshe ndoa yako na mahusiano yako kiujumla. Rafiki na Mwalimu wako, Mwl. Deogratius Kessy 0717101505//0767101504 Asante sana

Ijue Njaa Ya Wanandoa,

Je unavumilia maisha ya ndoa au unafurahia?

Kwanini Unavumilia Maisha ya ndoa badala ya kufurahia?


Hiki ni kitabu kinachowalenga Wanandoa na wale ambao wako katika uchumba wanatarajia kufungua ndoa.


Ijue Njaa Ya Wanandoa ni kitabu kitachokusaidia kujua hatua tatu muhimu mtu unazopaswa kuzipitia kabla ya ndoa.


Kwenye ndoa nyingi kuna njaa, wewe kama mume au mke, au unatarajia kuingia kwenye maisha ya ndoa je unaijua njaa ya Wanandoa? Hakika kitabu hiki kitakusaidia kujua njaa ya mwenza wako na ukishajua njaa yake kazi yako inakuwa ni kumshibisha tu njaa yake.


Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwanini watu wanachepuka? Ni kwa sababu kuna kitu ambacho anakosa, yaani kifupi mke au mume akishindwa kumshibisha mwenza wake njaa yake lazima ataenda kutafuta chakula nje ili ashibishe njaa yake.


Kitabu hiki, kimegusa kila eneo la ndoa, 


Hii ni baadhi ya shuhuda ya msomaji aliyesoma kitabu hiki.


‘’ kama upo kwenye ndoa au unapanga kuingia kwenye ndoa basi unapaswa kusoma kitabu hiki. Kama upo makini na maisha yako na unataka kuwa na mahusiano bora na watu wengine hakikisha unasoma kitabu hiki. Na kwa kuwa tunajua hakuna binadamu ambaye ni kisiwa, wote tunahusika na wengine, hivyo basi kusoma kitabu hiki ni moja ya hitaji muhimu la kuwa na maisha bora" Mwandishi Kocha Dr. Makirita Amani, aliyeandika Dibaji ya kitabu hiki.


Jipatie nakala yako sasa hivi ili ukanogeshe ndoa yako na mahusiano yako kiujumla.


Rafiki na Mwalimu wako,

Mwl. Deogratius Kessy

0717101505//0767101504

Asante sana

More Products On Discount
10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

10,000 Tsh. 9,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,500 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

25,000 Tsh.

Sold by: PJ PROJECTS

Old is Gold