KANUNI 101
Kila binadamu mwenye akili timamu anatamani kufanikiwa jambo fulani katika maisha yake, lakini wengi hushindwa kwa sababu hawana mwongozo katika maisha yao. KANUNI 101: Mwongozo wa Mafanikio Katika Maisha ni kitabu kinachotoa mwongozo utakaokusaidia kufikia NDOTO yoyote uliyonayo katika maisha yako. Mwandishi amerejea kazi za wataalamu wa fani mbalimbali ili kukusaidia wewe kuwa mtu bora na kuweza kutimiza ndoto zako kirahisi. Kanuni zote 101 zimeelezwa kwa lugha rahisi iliyopambwa kwa nukuu zinazoelimisha na kuleta hamasa.
Kila binadamu mwenye akili timamu anatamani kufanikiwa jambo fulani katika maisha yake, lakini wengi hushindwa kwa sababu hawana mwongozo katika maisha yao. KANUNI 101: Mwongozo wa Mafanikio Katika Maisha ni kitabu kinachotoa mwongozo utakaokusaidia kufikia NDOTO yoyote uliyonayo katika maisha yako. Mwandishi amerejea kazi za wataalamu wa fani mbalimbali ili kukusaidia wewe kuwa mtu bora na kuweza kutimiza ndoto zako kirahisi. Kanuni zote 101 zimeelezwa kwa lugha rahisi iliyopambwa kwa nukuu zinazoelimisha na kuleta hamasa.
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza