Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Kanuni Za Kufasiri Biblia - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

KANUNI ZA KUFASIRI BIBLIA

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
15,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Mar 14, 2024
Product Views:
395
In category:
Sample

KANUNI ZA KUFASIRI BIBLIA

Nachukua nafasi hii kumshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha kukitoa kitabu hiki mara ya pili ndani ya muda mfupi. Nahesabu kuwa ni neema ya Mungu ya ajabu kwa ajili ya kitabu hiki kupata mwitikio mkubwa kwa watu wengi sana kupenda kukisoma, hata kuleta hitaji la kukichapisha tena katika muda usiozidi miaka mitatu. Kusudi la kitabu hiki, ni kuwasaidia wakristo wote wanaopenda kuisoma Biblia na kuielewa. Kitabu hiki kilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 2006; na baada ya watu wengi sana kukisoma katika muda mfupi, nilianza kupokea simu nyingi na barua kutoka kwa wasomaji mbalimbali, wakitaka ufafanuzi zaidi juu ya mambo kadhaa. Katika toleo la kwanza, nilitoa maandiko mengi zaidi lakini ufafanuzi ukiwa kidogo; nikiamini kuwa msomaji mwenyewe atafuatilia maandiko hayo na kuyaelewa.


More Products On Discount
25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

5,000 Tsh. 1,000 Tsh.

Sold by: RAMV MRUMA

3,999 Tsh. 1,999 Tsh.

Sold by: Daudi Lubeleje

10,000 Tsh. 9,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

98,000 Tsh. 60,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold