Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Unabii Wa Daniel Na Siku Za Mwisho - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali
Best Seller

UNABII WA DANIEL NA SIKU ZA MWISHO

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Mar 07, 2024
Product Views:
239
In category:
Sample

Kitabu cha Danieli kiko miongoni mwa vitabu vya unabii mrefu, au manabii wakuu,ikiwa ni pamoja na Isaya, Yeremia na Ezekieli. Vimepewa majina hayo kutokana na sababu kuu mbili zifuatazo: a) Unabii wao mwingi unahusu kipindi kirefu, tangu wakati wao mpaka wakati wa Kanisa la Agano Jipya; b) Wao wenyewe kutabiri kipindi kirefu chini ya utawala wa wafalme kati ya watatu na wanne. Danieli Mwenyewe alifanya kazi chini ya utawala wa Nebukadreza, Belshaza, Dario na Koreshi.

DIBAJI.

Danieli ni mmoja wa manabii wakuu na wenye unabii mzito wa siku za mwisho. Sababu za kuitwa manabii wakuu, au manabii wenye unabii mrefu kwanza; ni kwa sababu walitabiri au kutoa huduma zao kwa muda mrefu, wakiwa chini ya wafalme wengi. Pili, unabii wao ulikuwa wa kutimizwa kipindi kirefu, yaani kuanzia muda wao mpaka siku za mwisho wa dunia. Wakati manabii wakuu wengine walitoa unabii wao juu ya mambo yahusuyo kanisa; Danieli alitoa unabii wake kuhusu kanisa, mpinga Kristo na siku za mwisho wa dunia.

Katika kipindi hiki tulicho nacho, kumetokea mafundisho mengi sana yanayochanganya imani za wakristo, hasa kuhusiana na matukio ya siku za mwisho; yaani kuja kwa Yesu mara ya pili, dalili zake na mwisho wa dunia. Mafundisho haya yanayoenea na kuwachanganya watu, zaidi yanatokana na kutokukielewa kitabu cha Danieli, na kitabu cha Ufunuo wa Yohana. Mafundisho haya hayazingatii kabisa unabii wa Danieli ambaye alipewa maono ya kutosha kuhusu siku za mwisho katika nusu nzima ya kitabu chake.

Ili kuwasaidia waamini wa madhehebu yote walio na shauku ya kuujua ukweli huu, nimekiandika kitabu hiki kwa kutumia kanuni muhimu za kusoma na kufasiri Biblia. Nakualika kukisoma kitabu hiki bila kujali itikadi za kidini, bali kukisoma ili kupata ukweli wa maandiko. Mungu hajawahi kuficha ukweli wa mambo hata watu wake wachanganyikiwe; lakini nalitangulia kutupa mpango wake na ratiba yake kwa matukio yote yatakayolipata kanisa mpaka wakati wa kuja kwa Yesu, ili tusifadhaishwe na mafundisho ya uongo hata kupotea.

Nakutakia Baraka za Mungu wewe msomaji wangu! 

More Products On Discount
10,000 Tsh. 9,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

3,999 Tsh. 1,999 Tsh.

Sold by: Daudi Lubeleje

10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

2,000 Tsh. 1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

25,000 Tsh.

Sold by: PJ PROJECTS

Old is Gold
2,000 Tsh.

Sold by: Lameck Hulilo

10,000 Tsh.

Sold by: RAMV MKWAWA

30,000 Tsh.

Sold by: FASADI SALANGA

10,000 Tsh.

Sold by: Emmanuel Minga