Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Kanuni Za Kiroho Ambazo Ziweza Kukusaidia Kufanikiwa Kiuchumi - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

KANUNI ZA KIROHO AMBAZO ZIWEZA KUKUSAIDIA KUFANIKIWA KIUCHUMI

0.2
1
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
10,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Apr 07, 2025
Product Views:
61
In category:
Sample

Kitabu hiki ni hazina kubwa sana

Wagalatia 4:1’’Lakini nasema ya kuwa mrithi,

wakati wote awapo mtoto, hana tofauti na

mtumwa, angawa ni bwana wa yote;’’

Kuna mambo ambayo mtu/ mwanadamu anahitajika kufahamu, kwa kulingana na mstari huu. Unaweza ikawa Mungu amekuweka mahali na kuna kitu unafanya, inaweza ikawa wewe ni mfanya biashara au ni mtumishi wa Mungu

wa Madhabahuni au Mahali popote ambapo Mungu amekuweka, Hicho kitu alichokupa Mungu; umefanywa kuwa mtawala juu ya hiyo

kazi uliyopewa na Mungu. Kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuwa mtumwa katika kazi

unayofanya ingawa wewe ni Bwana wa yote. Ni kweli hiyo kampuni ni yakwako, lakini hiyo kampuni inakutawala, inakuendesha, na unadhani kwanini yaweza mtawala mtu?, ni kwa

sababu ni mtoto mdogo. Mtoto mdogo hajui sana neno la haki kulingana na {Waebrania

5:13’Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana

neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.’’ }

Kuna kanuni ambazo zipo kwaajili ya kumsaidia mwanadamu

afanikiwe kiuchumi katika mahali ambapo yupo.

More Products On Discount
Best Sellers List
Best Seller
10,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PASTOR TONY OSBORN

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

GetValue Recommendations
Old is Gold