Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Mama Mkwe Anamuuza Mke Wangu - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

MAMA MKWE ANAMUUZA MKE WANGU

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
3,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Aug 11, 2023
Product Views:
957
In category:
Sample

NIMEITOA KWA OFA, UONE JINSI STORY ZA MIKA AUTHOR ZILIVYO TAMU.

( 1——-5 )

MAMA MKWE ANAMUUZA MKE WANGU SEHEMU YA KWANZA.
Siku ambayo nilikuwa siwezi kuisahau katika maisha yangu ni Ile siku ambayo mke wangu alijifungua mtoto wetu wa Kwanza Sara.
Nakumbuka siku hiyo nilikuwa kazini mishale ya saa nane mchana ndipo nikapigiwa simu na mama mkwe. \"Hallow Adam ( 32) mkeo amepatwa na uchungu\".
\"Acha nimpigie dreva taksi aje kuwapitia\"
Nilikata simu fasta na kumpigia dreva taksi ambaye yupo karibu na kwangu. \"Ali uko wapi muda huu\".
\"Nipo mitaa ya Mwananyamala\".

\"Basi mpitie shemeji yako umuwahishe Mwananyamala hospitali amepatwa na uchungu\".
\"Poa bro\" Ali alikata simu na kuelekea maeneo ya kinondoni ambapo ndipo nilipopanga ili kumpitia shemeji yake. Mimi muda huo ilibidi niage kazini nimepata dharura.Nikaruhusiwa na bosi kisha kwenda kutafuta daladala za Posta -Makumbusho kisha kujipakia kwenye daladala ili kuwahi hospitali.Wakati nipo mitaa ya Kinondoni Manyanya ,Mama mkwe alinipigia tena simu.

\"We mkwe vipi? Hospitali gani hii ya mtu kujifungua?\" Swali la mama mkwe lilinishangaza Ila nikalipuuzia na nikakata simu nilihisi atakuwa amepagawa. Hazikupita dakika tatu Ali akanipigia simu.

\"Bro vipi? Naona Mama anabisha hapa anataka nimpeleke mwanae Regency\". \"We usijali mi nipo karibu kufika\" Nilijibu hivyo kwasababu nilikuwa mitaa ya komakoma nakaribia kabisa kufika mwanayamala hospital ,Pia sikuona sababu ya madai ya mama mkwe kuwa mwanaye akajifungulie Regency.

Basi nilifika Mwananyamala kwenye Kona ya kuelekea hospitali nikashuka kisha kuchukua bodaboda ili niweze kuwahi mzozo wa mama mkwe na dereva.

Nilifika nikamkuta mama mkwe amesimama na dereva amesimama nje ndani mke wangu alikuwa anagalagala tu huku akiugulia maumivu ya uchungu.Kwa kweli nilijikuta najiuliza maswali hivi huyu ni mama yake kweli?

Maana binafsi nayajua mambo mengi ya siri ya huyu mama Ila nimeamua kuyamezea tu ili mambo yaendelee lakini Kwa hili nilihisi kabisa huwenda huyu mama anatamani mwanaye afe kwasababu huwenda amekuwa kikwazo cha mambo yake kufanikiwa ( Mambo gani hayo tutakuja kuyajua mbele baki nami).

\"Ali naomba unisaidie kumshusha kwenye gari shemeji yako\".
\"Sasa hapa ndo hospitali kweli ya mwanangu kujifungulia hapa ,Lolote baya likimkumba mwanangu nitajua cha kukufanya\".

Kwa kweli sikumjibu huyu mama bali nilibaki na muangalia kwa jicho kali mno kisha kuendelea na process ya kumbeba mke wangu.

\"Aahaa\" Mke wangu alilia kwa uchungu

mpaka akaning\'ata lakini sikujali nikiendelea kumbeba na hatimaye tokapokewa na Muhudumu wa hospital ( Nurse). Na kumuweka kwenye kitanda kisha kumkimbiza kwenye chumba cha kujifungulia. Mama mkwe alivyomuona binti yake amewekwa kwenye kitanda akajisemea. \"Mtume ,Roho yangu tumeumbuka Leo\".Nilishindwa kumuelewa Kwa kweli mama mkwe anamaanisha nini maana kauli yake haieleweki.

Basi mke wangu aliingizwa kwenye chumba cha kujifungulia na haikupita muda walitoka manesi wawili na kuniuliza.

\"Wewe ndiye mume wa huyu Dada\". \"Ndio \"Nilijibu Kwa shauku nikijua kuwa napewa taarifa njema ya kuitwa

Baba matokeo yake nilikatwa kibao na Nesi.
\"Andaa pesa ya mashuka na kanga na yakwetu wahudumu,Huwezi kutushikisha mimavi kiasi hicho\" Dah kwa kweli Nilishindwa kuielewa kauli ya Nesi na Nesi mwingine alipita na kusonya tu.

\"Fyoouu unaonekana mwanaume mstarabu kumbe mshenzi mkubwa mwana hizaya we\".
Je nini kimetokea? tukutane sehemu ya pili

ANAMUUZA MKE WANGU SEHEMU 2. Kibao cha Nesi na maneno makali ya manesi yalinifanya niishiwe nguvu ya kusimama na nikajikuta nadondoka chini pasipo kutarajia.

\"Vipi bro uko sawa\" Ali aliniuliza

nilipodondoka chini ghafla Kwa hasira na uchungu mwingi.Wakati huo mama mkwe alikuwa akiniangalia kwa aibu huku akizuga kama vile anioni.

\"Nipo sawa mzee\" Nilimuitikia Ali huku na nyanyuka.Kwakweli niliona aibu sana mbele ya Ali.
Pia nilihisi kitendo cha mimi kudondoka Ali atakuwa ametambua ukweli kuwa mke wangu alikuwa anagawa tigo kwa michepuko yake bila mumewe kujua.Na nilijua kabisa Kwa stori kubwa kama hiyo si rahisi mtu kumezea lazima ataitangaza mtaani na nikimuacha mke wangu hiyo ndo itakuwa habari ya mjini uso wangu nitakosa pakuuficha. Hivyo nilimwambia Ali.

\"Naomba nisindikize Atm\".
Tulitoka mimi na Ali na kujipakia kwenye gari kisha kutoka nje.Atm za

pale nje ya hospital ni Crdb na Nmb na mimi account yangu ni ya NBC . Hivyo ilibidi twende mpaka makumbusho ili tukatoe hela njiani nikatafuta maneno mazuri ya kumueleza Ali ili asije akajua mke wangu alichepuka na kuliwa tigo maana hii ndo ingekuwa aibu kubwa kwangu. \"Unajua ,Ali ningeyajua yote haya bora ningempeleka mke wangu Regency ajifungue Kwa operations\".

\"Pole mzee ndo ukubwa jikaze\" Pole yake bado iliashiria wazi kuwa anatambua mke wangu alichepuka. \"Ujue nilikuwa sijui kama ukiruka ukuta Kwa mkeo inaweza kuleta madhara wakati wa kujifungua\" Dah kiukweli hili ni neno gumu sana nililisema nikiwa na uchungu mwingi huku machozi yakinitoka, Sura yangu nimeielekeza

nje ya kioo cha gari ili tu Ali asinisome nilikuwa naongea kwa hisia gani.
\"Dah ,Mzee kumbe ulikuwa una mla ndogo shemeji\" Hapa Ali aliongea kwa uchangamfu kidogo ,Hii inaonyesha ni kana kwamba alianza kuniamini.

\"Dah ,Unajua haya mambo bwana we acha tu nimejikuta nafedheheka sasa kwa ujinga wangu\".
\"Ila acha huo mchezo Mzee, Ila mama alijuaje Mzee\".

\"Mambo ya watu wazima haya huwenda alitambua ndo maana akasisitiza twende Regency\"
Dah kiukweli nilijikaza tu kujisingizia mambo yasiyonihusu mradi kukwepa aibu kubwa iliyokuwa mbele yangu. Yahaani Bora nipate aibu ndogo tu kuwa jamaa alikuwa anampakua mkewe tigo kuliko kupata aibu kubwa

kama hii mbele za walimwengu kuwa jamaa mke wake alikuwa akipakuliwa tigo bila yeye kujua.
Basi tulifika makumbusho na nikatoa pesa, Kisha tukarudi mpaka hospitali lakini nikaona bora nimlipe kabisa Ali aondoke zake.

\"Naona nisikucheleweshe sana, Huyu anaweza kukaa hospital siku moja hivyo tukuruhusiwa tutakuita\".
Ali aliondoka nami nikarejea hospitali nilikutana na wale manesi nikawapa elfu hamsini wakasonya.

\"Lete laki moja mshenzi mkubwa ,Hiyo elfu hamsini tukikwambia ufue mashuka yote utaweza?\" Nikaona isiwe tabu kudhalilishana mbele za watu nikawaongezea shilingi elfu hamsini ikawa laki moja. Baada ya kuwapa laki ndipo manesi wakakenua meno na

kuniambia
\"Hongera, Umefanikiwa kupata mtoto wa kike\"
Mama mkwe muda huo sikumuona hivyo nilihisi moja kwa moja atakuwa kaenda kumuona mzazi ikabidi nimpigie simu.
\"Hallow\".
\"Hallow Adam\".
\"Mko wapi?\".
\"Tuko wodi ya wazazi, Ila Hongera umefanikiwa kuitwa baba\". Kwakweli hii hongera ya mama mkwe niliiona ni hongera iliyojaa unafiki mwingi ndani yake hivyo niliipuuzia.
\"Najua unamawazo mengi ila hata sisi tunamawazo pia kuwa unaweza ukachukua mawazo ya kipuuzi ya taraka,Sasa kaa ukijua mwanangu aachiki na kama ukithubutu kumuacha

mwanangu basi nitamtumia video zetu mimi na wewe baba yake ,Hapo ndipo utakapoliona joto la jiwe kwenye hii dunia\" Mamkwe aliongea kibabe mno nami nikabaki midomo wazi huku kila nikifikiria kuwa baba mkwe ndo boss wangu nami kazini nimewekwawekwa tu ki ukwe bila elimu nikajikuta nachoka kabisa

Tukutane sehemu ya tatu

ANAMUUZA MKE WANGU SEHEMU 3 Kwakweli Nilishindwa kuvumilia maongezi aliyokuwa anaongea mama mkwe kwenye simu hivyo niliamua ni kate simu yake kwa hasira.Sikuwa na ujasiri kwakweli wa kwenda kumuona huyo mtoto kwani nilihisi kabisa huyo mtoto anaweza asiwe wangu

pia.Kichwani nilijikuta nina stress za kutosha na sikuona solutions nyingine zaidi ya kwenda kunywa pombe walau nitapunguza mawazo.

Nilifika baa fulani karibu na maeneo nilipopanga ili iwe rahisi nikizima washkaji wanisaidie kunipeleka nyumbani maana nilikusudia kwakweli kunywa na kuzima kabisa ili mawazo yapote.

Basi nikagonga ulabu wa kutosha mpaka nikakaribia kuzima.Nakumbuka nilianza kunywa kuanzia saa kumi jioni mpaka saa moja usiku nilikuwa hoi bin taabani nakaribia kuzima kabisa.Nikaona kuzimia hapahapa bar si Jambo zuri hivyo nikachukua chupa tatu za bia kwaajili ya kumalizia ulabu nyumbani. Nilikwenda Kwa kuyumbayumba sana mpaka

nikafanikiwa kufika nyumbani na kufungua mlango kisha kujitupia kwenye kochi.Wakati huo simu yangu ilikuwa ina missed call za kutosha Ila Nilishindwa kabisa kuzijibu kwasababu nilijua wazi kama nitazijibu hizo missed call basi mawazo yanaweza kurudi hivyo niliamua kuzipuuza na nikazima simu kabisa kisha kuendelea kupiga gambe. Sikuweza kufanikiwa kuzimaliza bia zote tatu nilijikuta napitiwa na usingizi palepale na kujihisi nastarehe kama niko peponi.Shida na matatizo yangu yote nilikuwa nimevibwaga chini. Baada ya muda kidogo ,Sikujua ni saa ngapi nilisikia mlango wa sebuleni ulikuwa ukifunguliwa na mtu.Pombe zilikuwa zimenizidi mno hivyo moja Kwa moja nilijua anayefungua mlango atakuwa ni mke

wangu tu maana hapo nyumbani tunaishi wawili tu mimi na yeye.Isipokuwa alivyopata mimba ndipo mama yake aliamia hapo kumsaidia.

Huyo mtu aliyeingia sikumtambua ni nani kutokana na giza totoro kwasababu umeme ulikuwa umekatika siku hiyo.Ila nilijaribu kumuangalia vizuri japo kiulevi ulevi nikafanikiwa kuona umbo la mwanamke moja Kwa moja nikajua ni mke wangu.Kwanza kabisa nikamkaribisha na tusi moja kubwa. \"Wewe Malaya kumbe unagawa tigo, Alafu ukiwa na mimi unajifanya hizo habari utaki kuzisikia, Leo lazima nikutie mpaka uje , Siwezi kukubali mambo ya kishenzishenzi na siwezi kuonekana bwege mimi mbele za watu\" Nilimvamia yule mwanamke

na kumvutia kwenye kochi, Kisha kuanza kumvua nguo.Yule mwanamke alinipokea vizuri na kuanza kuchojoa nguo zake.
\"We Malaya hii michezo unaipenda kumbe sasa kwanini hukuniambia siku zote , Leo nitakuchana huku nyuma Kwa hasira\".
Basi nilimuinamisha Yule mwanamke na kuanza kumpa kibano cha tigo. Haikupita hata dakika tano nikakojoa na nikapitiwa na usingizi palepale. Asubuhi ilifika nikajihisi kunamtu ananyonya koni yangu ,ndipo nikaanza kuvuta picha kabla ya kufumbua macho huku nikijiuliza jana ilikuwajekuwaje ndipo nikakumbuka kuwa jana. Nilikunywa pombe nyingi nikalewa alafu akaja mwanamke mmoja nikaanza kumpakua tigo.

Nikajiuliza atakuwa ni nani huyu mwanamke maana mke amejifungua Jana hivyo si Jambo jepesi kurudi bila mtoto pia kufanya mapenzi siku hiyohiyo.

Basi nilifungua macho mtume roho yangu ni mama mkwe.
\"Eehee!\" Nilishangaa lakini mama mkwe akaniangushia kwenye kochi. \"Jamila vipi hizi habari mi sizitaki tena\". \"Mmh, Huzitaki hapo ndipo unaponihudhi toka umemuoa mwanangu eti unajifanya dhambi , Dhambi gani tena hiyo wakati mimi na wewe tumeruka sana madebe kabla Amina hujamjua\".

\"Lakini hayo yashapita sasa hivi wewe ni mama mkwe wangu\".
\"Mimi ni mama mkwe wako tukiwa mbele ya Amina Ila wewe ni mpenzi

wangu tukiwa wawili japo umenibania sana ila nashukuru umenipa raha jana ya kitu kitamutamu hivyo ningeomba turudie tena\" Alisema hayo huku akiendelea kuninyonya kisha kunisukuma Kwa chini alafu akaja kwa juu na kujipachika kwenye tundu la nyuma.Mawazo niliyokuwa nayo ya mke wangu kunisaliti na kuliwa tigo yalinipa hasira nami nimsaliti kwa mama yake.

Wakati hayo yalikuwa yakiendelea simu yangu ilikuwa imezima na hata mama mkwe simu yake ilikuwa imezima na ilikuwa mishale ya saa mbili hivi.Mara ghafla mlango ukafunguliwa nilitaharuki sana kumbe hatukufunga mlango.Mtume kumbe alikuwa ni mke wangu akiwa kabeba mtoto alitupigia sana simu hatukupokea hivyo

akachukua taksi na kurudi nyumbani mwenyewe basi nilijikuta nimebaki midomo wazi. Je nini kitatokea Adam kafumaniwa anamla tigo mama mkwe wakati amegundua mke wake analiwa tigo tukutane sehemu inayofata

MAMA MKWE ANAMUUZA MKE WANGU 4. \"Aahaa\" Mke wangu alikumbwa na mshangao baada ya kushuhudia fumanizi mimi na mama yake na kujikuta akienda chini moja Kwa moja pasinakutarajia huku akimzuia mtoto asianguke.

Mimi nikachomoka pale kwenye kochi kwenda kumsaidia kumdaka mtoto ili mtoto asije kuumia lakini alinizuia. \"Mshenzi mkubwa muache mwanangu\" Alisema Kwa hasira huku

akimvutia mtoto upande wake na kunizuia kabisa nisimshike.
Wakati huo mama mkwe alivaa mitenge yake kisha kutoka nduki na kuniachia msala mimi na mke wangu. Mke wangu alijikaza kisha kunyanyuka \"Kwakweli sikutegemea kitu kama hichi kutoka kwako Adam ,Tafadhari nipe taraka yangu\" Mke wangu alisema huku analia nami nikawa sina jinsi wala sikutaka kumbembeleza kwasababu pia hata mimi moyoni nilikuwa natamani kumuacha kutokana na aibu niliyoipata hospitali na hili fumanizi lake kwangu basi ndo linachochea zaidi talaka. Nilichukia daftari kisha nikachana karatasi na kuanza kufikiria kuandika talaka nilifikiria mara mbilimbili je nikimuacha kazi itakuwaje jibu ni kuwa kazi itakuwa basi, Kwasababu

nikimuacha hapa Ile talaka itamfikia Baba mkwe na lazima atauliza sababu ya talaka ni nini? Sababu ya talaka ikiwa mimi nilitembea na mama yake tukafumaniwa itakuwa mbaya zaidi Kwa upande wangu mbele ya babamkwe licha ya kuwa Baba mkwe na mama mkwe walishaachana siku nyingi lakini hili la kutembea na mama na mwana ni kitendo kisichovumilika mbele ya jamii.Niliwaza sana nikaamua niichane hiyo karatasi niliyopanga kuandika talaka. \"Siwezi kutoa talaka inabidi tuongee\" Nilimwambia mke wangu ambaye muda huo alikuwa kashakusanya nguo zake kwenye begi na kunisimamia pale karibu akisubiri talaka yake.

\"Sina cha kuongea na wewe Adam nipe talaka yangu niondoke\". Alikazani a

Kwa mkazo na macho ya hasira Mimi nikaona acha nimbembeleze nikajaribu kumkumbatia. \"Sikiliza\". Nilijaribu kumkumbatia lakini akakataa kumbatio langu na kunisukuma huko kisha kuchukua begi lake na mwanae kuanza kuondoka. Sikuweza tena kumzuia maana nilitambua kabisa Kwa hasira alizokuwa nazo siwezi kumzuia. Aliondoka na kuniacha peke yangu nawaza tu itakuwaje akimwambia Baba yake.Basi nilijikuta nimekaa kwenye kochi kama zezete huku nikijutia Kwa kitendo nilichokifanya. Nilijutia bora hata nisingekunywa pombe ningepata maamuzi mazuri kuliko haya niliyoyafanya nilihisi nimeharibu maisha yangu kwani nyumba ninayokaa ni Mali ya kampuni ya Baba mkwe na mwanaye nishaachana naye

,Elimu yangu ni ndogo sistahili kupata kazi kama Ile hivyo nilisubiri tu kuja kunyang\'anywa nyumba na kufukuzwa kazini. Nilikaa sana kwenye kochi zaidi ya masaa mawili na ghafla mlango wangu wa sebuleni ukafunguliwa. Alikuwa si mwingine ni Baba mkwe na mke wangu.Nilipomuona tu Baba mkwe nikajua basi mambo yameharibika. \"Haya naomba unipe maelezo kwanini mkeo anadai talaka yake maana nimejaribu kumuuliza kasema nikuulize mwenyewe Adam\". Baba mkwe aliniuliza swali ambalo nilijua wazi hapa nikijibu moja Kwa moja nitakuwa nimeharibu.Ikabidi nitafute njia nzuri ya kujibu ndipo nikaanza kujibu.\"Mama mkwe anamuuza mke wangu\" Mke wangu alishangaa Kwa taharuki kuona

kama nimembadilishia kibao na kusema hayo. \"Baba huyu nimefumania na mama asijitetee\".Mke wangu alisema kwa kunikatisha. \"Tafadhari naomba nipewe nafasi ya kuelezea yote Ila sababu kubwa ya mimi kumuacha mke wangu ni kuwa mama mkwe anamuuza mke wangu\" Nilianza sasa kueleza yote yaliyotokea mpaka kufikia hapa kwenye fumanizi

MAMA MKWE ANAMUUZA MKE WANGU 5 Basi nilianza kueleleza kinagaubaga baina ya mama na mwana. \"Nakumbuka kabla sijamuoa mke wangu tayari tulishaanza kuishi kama mke na mume hivyo wazazi wa mke wangu ilikuwa ngumu

kidogo kuwajua kwasababu ni kama vile tulikuwa tunaibia.
Mke wangu aliniambia wazazi wake walikuwa wametengana ,Pia alinishauri nionane na baba yake ili anipatie kazi nimuoe.Nakumbuka siku hiyo ilikuwa hivi .Nilirudi katika mihangaiko nikamkuta mke wangu Amina amejaa tele sebuleni. \"Adam unanipenda?\" Amina aliniuliza nami nikamjibu. \"Swali gani hilo la kuulizana, Ndio nakupenda\".

\"Mbona sasa hutaki kunioa?\".
\"Sitaki kukuoa nani kakwambia hivyo?\".
\"Hajaniambia mtu Ila nimejua tu hutaki kunioa\".

\"Umejuaje?\"
\"Nimejua tu kwasababu nikikwambia

twende ukajitambulishe kwa baba atakupa kazi nzuri unioe hutaki na unaendelea kufanya kazi zako za ajabu ajabu, Pia hata nikikwambia twende nikakutambulishe kwa mama pia hutaki\". Kwa kweli maelezo yake yalijitosheleza na kuniacha nikiwa sina utetezi, Ni kweli huyu mwanamke nampenda Ila binafsi nilikuwa sina nia ya kuoa kabisa, Sielewi ni kwanini ila nilijikuta basi tu sitaki kuoa yahaani tatizo halikuwa kwa mwanamke bali ni mimi binafsi sikuwa tayari kuoa labda kwasababu enzi hizo ujana bado ulinitawala Sana na sikuwa na nia ya kukatisha maisha yangu ya ujana.Hivyo nikajikuta natunga uongo hapo hapo.

\"Unajua bwana mambo ya kumtegemea Baba mkwe si mazuri cha

msingi Acha nifight mimi mwenyewe nitakuja kukuoa\". Nilijibu hivyo Kwa mazoea ya siku zote Ila siku hiyo Amina alipanga kuliamsha timbwili maana alishachoka na ahadi zangu za uongo na alishachoka kupewa aahadi na mtu asiye na nia ya kuoa hivyo alipanga kutikisa kiberiti kidogo ili ajue kama njiti zimo.

\"Naomba unieleze utanioa unioi, Kama unanioa twende kwa baba au mama saa hivi kama unioi naondoka saa hivi\" Kwa kweli nilikosa majibu ya kumpa Amina sikuhiyo kwasababu mimi sio muoaji pili sitaki Amina aondoke ghafla namna hiyo kwasababu ni kuwa nampenda sana hivyo nikakosa jibu na kuganda Kwa mshangao pasina kujibu chochote.

\"Huna la kujibu\" Amina aliongea kwa

jazba huku machozi yakimtoka akiamini ishara kabisa mimi simpendi. \"Unajua Amina ,Ebu tulia kwanza tujadili hili swala\" Kwakweli Amina alishindwa kabisa kunielewa hivyo kutoka sebuleni na kuingia chumbani Kwa kasi nami nikimfata kwa nyuma nijue anaenda kufanya nini? Amina aliingia chumbani kisha kuchukua begi lake na kuanza kupaki nguo zake huku analia. \"Amina ebu acha bwana unafanya nini sasa\" Amina alikaa kimya kisha kupaki nguo zake zote na kunijibu jibu lake moja tu \"Siwezi kukaa na mwanaume ambaye atanipotezea muda tu Bora nikae peke yangu naweza nikapata mwanaume mwenye nia ya dhati ya kuja kwetu puuu\" Amina alimaliza Kwa kutoa ishara ya dharau kama kutema kitu hivi kisha akaendelea.

\"Yahaani mwanaume nimekuahidi kazi nzuri Kwa baba yangu endapo tu ukijitambulisha lakini bado unapiga danadana huna nia wewe\" Amina alisema hayo huku akiwa tayari kashabeba begi na kutoka huyo. Nilijaribu sana kumsisitiza arudi kwanza ili tuweze kuongea vizuri lakini Amina alikuwa mbishi na kuondoka. Amina akawa ameondoka ghafla kwenye maisha yangu na nikajihisi kuchanganyikiwa akili yangu ikavurugika na Kwa kuwa nilikuwa napenda Sana ujana kipindi hicho ilibidi nitoke mpaka baa fulani kupata moja mbili tatu ili kutuliza akili yangu. Wakati Naendelea kupate gambe simu yangu ikaita, Kuicheki alikuwa ni Jamila ( Mama mkwe) Kwa kipindi hiko nilikuwa sijui kama anamahusiano

yeyote na Amina Ila nilijua ni mmama anayemiliki grocery alafu anajiuza na kuwauza wasichana. \"We Adam vipi tena mbona umenisusa, Ebu njoo hapa kwangu maana Leo nina kitu kizuri kitu new brand\"

More Products On Discount
7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 9,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

25,000 Tsh.

Sold by: PJ PROJECTS

Old is Gold