Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Wewe Ni Bidhaa Ya Mungu1 - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

WEWE NI BIDHAA YA MUNGU

0.2
1
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Aug 22, 2020
Product Views:
1,173
In category:
Sample

Tambua ulichoumbiwa, kiishi, mafanikio yatakufuata.

Bidhaa yoyote ile hutengenezwa kwa lengo mama la kwenda kutawala soko na kutoa suluhisho la matatizo yanayowakabili watu. Na hii ndio kiu na furaha ya mtengenezaji wa bidhaa husika.

Hata kwetu binadamu, lengo la kuwepo hapa duniani kama bidhaa ya Mungu ni KULITAWALA SOKO (dunia) na kutatua changamoto mbalimbali kupitia karama na vipawa tulivyopewa na Mungu. Mwenyezi Mungu kama muumba wetu anajisikia furaha kuona tunafanikiwa.

Hivyo kitabu hiki cha \\\"WEWE NI BIDHAA YA MUNGU\\\" ni maalumu kwa ajili yako wewe uliye na kiu ya kulitawala soko kupitia karama na vipawa ulivyopewa na mwenyezi Mungu.

Ukweli ni kwamba hautaishi duniani milele, ila unayo nafasi ya kufanya jambo litakaloishi milele kwa niaba yako pale utakapokuwa umeondoka duniani.

More Products On Discount
10,000 Tsh. 9,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

25,000 Tsh.

Sold by: PJ PROJECTS

Old is Gold