U S H O G A : MPANGO UNAO PUNGUZA WANAUME DUNIANI
U S H O G A : MPANGO UNAO PUNGUZA WANAUME DUNIANI
Afrika inaenda kupotoka ikiwa hatutachukuwa jitihada za haraka tusipo chukua jitihada za haraka. Dunia inaweza kupoteza maana halisi ya wanaume na kubaki na wanaume kwa jina tu. Kitabu hiki kimeandikwa mahususi kupinga kwa uwazi na bila kupindisha maneno suala la ushoga au mahusiano ya jinsia moja. Kitabu hiki kinalenga hasa bara la Afrika ambalo utamaduni huo unaonekana kuibuka kwa kasi karne ya 21 na 20. Hakuna faida kwa mwanaume kuingiliwa na mwanaume mwenzake, wala hakuna raha yoyote kwa mwanaume kumuingilia mwanaume mwingine. Kwa mujibu wa Bibilia na vitabu vingine vya deni, jambo hilo limekatazwa sana ujasiri huo unatoka wapi Nilazima urudi kwenye tafakuri ya kina unaenda wapi wewe mwanaume wakiafrika?
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza