WASHINGTON DC : TANZANIA
Dunia Ya Ujasusi
Hii ni hadithi inayozungumzia maisha ya mtu ambaye anaandaliwa kuwa Jasusi katika idara ya CIA (Central Intelligence Agency) ambaye anaandaliwa bila yeye kujuwa. Ni kijana anayetokea mazingira ya Familia ya chini na duni kimaisha wazazi wake wakulima lakini alikuwa ni kijana mwenye akili na ufikiri mkubwa kijana ana asili yakutoka jamii ya wafugaji na wakulima. Kwenye maisha ya kawaida anaonekana si kitu na mtu ambaye yupo yupo alikuwa msikivu muongeaji kwa kiasi alipenda kusoma vitabu nakujifunza elimu yake ilikuwa niya vidato vinne peke yake. Miaka mingi baadaye anaibuka kuwa Jasusi mahiri ambaye anakuwa msaada mkubwa kwa idara ya CIA katika nchi za ukanda wa Afrika fuatilia hadithi hii kutoka kwa mwandishi.
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza