JICHO LA KUONA FURSA
JINSI YA KUFUNGUA AKILI IONE FURSA UNAZOZITAKA
Watu wengi huamini mafanikio ni bahati, lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hukosa macho ya kuona fursa zilizowazunguka.
Kitabu hiki kitakufundisha namna ya kutambua fursa ambazo wengine huzipuuza, kubadili changamoto kuwa chanzo cha mafanikio unayoyatafuta, kuhamasisha uwezo wako wa kufikiri kimkakati, na kujenga mfumo wa kutengeneza thamani kutokana na mazingira uliyonayo.
Utajifunza kwa nini watu wawili wanaweza kuishi sehemu moja lakini mmoja akafanikiwa na mwingine abaki akilalamika tu kuwa hali si shwari, pamoja na kanuni zinazokuwezesha kuona, kutengeneza na kutumia fursa kwa mafanikio makubwa.
Ukimaliza kukisoma, hutautazama tena ulimwengu wako kwa jicho lilelie, kwa sababu utaanza kuona milango ya mafanikio ambayo hapo mwanzo ilikuwa haionekani mbele ya macho yako.
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Godius Rweyongeza