Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Mambo 55 Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuanzisha Biashara - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali
Best Seller

Mambo 55 Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuanzisha Biashara

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
6,500 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Aug 31, 2020
Product Views:
3,947
In category:
Sample

Ukienda shuleni kuna sheria fulani ambazo lazima uzifuate. Ukitaka kuwa dereva kuna sheria za barabarani ambazo unapaswa kuzizingatia. Ukitaka kuwa rubani lazima ujifunze kuendesha ndege na uzijue kanuni ambazo zinatumiwa na marubani. Sasa suala hili hapa halijaachwa nyuma katika biashara. Ili uweze kuendesha biashara nzuri sana ambayo imesimama na ambayo itaenea katika maeneo mengi hapa duniani basi huna budi kuhakikisha kwamba unajifunza kanuni, mbinu na sheria za biashara. Kwa kulitambua suala hili hapa, basi kurasa za kitabu hiki hapa zimelenga katika kuhakikisha kwamba zinakupatia mambo ya msingi sana ambayo unayahitaji kuhakikisha kwamba unayazingatia kabla ya kuanzisha biashara. Kama ilivyo kweli kwamba mwanafunzi akienda shuleni na asipofuata sheria za shule husika anaweza kupoteza shule hiyo kwa kufukuzwa. Vivyo hivyo kwa mambo ambayo yamo kwenye kurasa za kitabu hiki. Kadri unavyokuwa unazidi kuyakosa ndivyo unavyokuwa unazidi kuididimiza biashara yako. Na kama mambo haya hutayafahamu mapema na kuhakikisha kwamba umeyarekebisha basi sichelei kusema kwamba upo katika njia ya kuipoteza biashara. Wakati shuleni mwanafunzi anafukuzwa na mwalimu kwa ukosefu wa nidhamu au kwa kutotimiza wastani wa maksi zilizohitajika au kwa kufuata baadhi ya sheria za shule husika. Katika biashara wateja ndio walimu.Hawa wanaweza kukufuza aukukuacha. Swali la msingi ambalo unapaswa kujiuliza ni lini wateja watakufukuza. Basi jibu la swali hilo limo katika kurasa za kitabu hiki. Yaani kitabu hiki kina kila kitu ambacho unahitaji kujua kabla ya wewe kuanzisha biashara na baada ya kuanzisha bishara. Kisome kitabu hiki hapa kwa umakini. Lakini pia zitumie mbinu zilizoandikwa kwenye kurasa za kitabu hiki hapa kuhakikisha kwamba unaanzisha, unakuza na kuisambaza biashara yako popote pale unapotaka. Asante sana, Tukutane kwenye meza ya wanamfanikio Godius Rweyongeza

Karibu sasa ujipatie nakala yako

More Products On Discount
10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

10,000 Tsh. 9,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
5,000 Tsh.

Sold by: Denis Mpagaze

10,000 Tsh.
(1)

Sold by: PJ PROJECTS

12,000 Tsh.

Sold by: Germano Mbelwa

5,000 Tsh.

Sold by: Sabas Patrick

25,000 Tsh.

Sold by: PJ PROJECTS

Old is Gold