Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Mbinu Za Kukabiliana Na Tatizo La Upungufu Wa Wekundu Wa Damu Anaemia - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA WEKUNDU WA DAMU ANAEMIA

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Mar 03, 2025
Product Views:
278
In category:
Sample

Jione mwenye bahati kupata nakala ya kitabu hiki

Ukisoma kitabu hiki hadi mwisho utaweza kujifunza yafuatayo:-

  1. Chanzo cha upungufu wa wekundu wa damu
  2. Mila na desturi zinazoweza kusababisha upungufu wa wekundu wa damu
  3. Makundi ya watu walio hatarini kupata tatizo la upungufu wa wekundu wa damu
  4. Aina ya vyakula vinavyoongeza haraka wekundu wa damu
  5. Mbinu, Majukumu na wajibu wa familia katika kupambana na upungufu wa wekundu wa damu ikiwemo tatizo la siko seli/selimundu
  6. Na mambo mengine mengi kuhusu damu na upungufu wa damu

Kupata hardcopy ya kitabu hiki ni TSh 12,000/= Kisha tuma SMS/Piga 0686279021 ya muamala wako wa Malipo Jina Lubango Lucas Chikanda kitakufikia huko uliko kwa uaminifu mkubwa

Nauri ya kusafirisha kitabu hiki kwa hapa Tanzania ni juu yangu.Mungu akubariki

More Products On Discount
More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
1,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PASTOR TONY OSBORN

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

GetValue Recommendations
Old is Gold