.jpg)
MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA WEKUNDU WA DAMU ANAEMIA
Price:
5,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Mar 03, 2025
Product Views:
332
Sample
Jione mwenye bahati kupata nakala ya kitabu hiki
Ukisoma kitabu hiki hadi mwisho utaweza kujifunza yafuatayo:-
- Chanzo cha upungufu wa wekundu wa damu
- Mila na desturi zinazoweza kusababisha upungufu wa wekundu wa damu
- Makundi ya watu walio hatarini kupata tatizo la upungufu wa wekundu wa damu
- Aina ya vyakula vinavyoongeza haraka wekundu wa damu
- Mbinu, Majukumu na wajibu wa familia katika kupambana na upungufu wa wekundu wa damu ikiwemo tatizo la siko seli/selimundu
- Na mambo mengine mengi kuhusu damu na upungufu wa damu
Kupata hardcopy ya kitabu hiki ni TSh 12,000/= Kisha tuma SMS/Piga 0686279021 ya muamala wako wa Malipo Jina Lubango Lucas Chikanda kitakufikia huko uliko kwa uaminifu mkubwa
Nauri ya kusafirisha kitabu hiki kwa hapa Tanzania ni juu yangu.Mungu akubariki
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
Sold by: Lackson Tungaraza
7,000 Tsh.
Sold by: Chikanda Medical Publisher
5,000 Tsh.
Sold by: Chikanda Medical Publisher
5,000 Tsh.
Sold by: Chikanda Medical Publisher