.jpg)
MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA WEKUNDU WA DAMU ANAEMIA
Price:
5,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Mar 03, 2025
Product Views:
278
Sample
Jione mwenye bahati kupata nakala ya kitabu hiki
Ukisoma kitabu hiki hadi mwisho utaweza kujifunza yafuatayo:-
- Chanzo cha upungufu wa wekundu wa damu
- Mila na desturi zinazoweza kusababisha upungufu wa wekundu wa damu
- Makundi ya watu walio hatarini kupata tatizo la upungufu wa wekundu wa damu
- Aina ya vyakula vinavyoongeza haraka wekundu wa damu
- Mbinu, Majukumu na wajibu wa familia katika kupambana na upungufu wa wekundu wa damu ikiwemo tatizo la siko seli/selimundu
- Na mambo mengine mengi kuhusu damu na upungufu wa damu
Kupata hardcopy ya kitabu hiki ni TSh 12,000/= Kisha tuma SMS/Piga 0686279021 ya muamala wako wa Malipo Jina Lubango Lucas Chikanda kitakufikia huko uliko kwa uaminifu mkubwa
Nauri ya kusafirisha kitabu hiki kwa hapa Tanzania ni juu yangu.Mungu akubariki